Upanzi wa mimea kwa mzunguko pamoja na lejiumu

Lejiumu ni muhimu katika upanzi wa mimea kwa mzunguko kwa sababu hupunguza magugu na kurutubisha udongo kwa kusaidiana na bakteria wanaotengeza naitrojeni kwenye udongo. Ili kuwa na uhakika kuwa udongo wako una bakteria sahihi, unaweza kununua chanjo ya Rhizobium bacteria. Bakteria wa Rhizobium huweza kuishi kwa miaka kadhaa kwenye udongo, kwa hivyo huhitajiki kuchanja mimea yako ya lejiumu kila wakati.

Current language
Kiswahili
Need a language?
If you would like this video translated into other languages, please contact kevin@accessagriculture.org
Translated in
KENYA
Translation funded by
GIZ-KCOA
Uploaded
6 months ago
Duration
12:29
Produced by
Nawaya