Mbinu mseto za kukabiliana na nzi wa matunda
Uploaded 5 years ago | Loading
12:52
Nzi wa matunda husababisha hasara kwa wakulima na wanaonunua matunda kutoka kwao. Tunda likiwa limedungwa, huenda usiona madhara moja kwa moja, lakini baada ya siku chache utaona tunda likianza kuoza.
Current language
Kiswahili
Produced by
Agro-Insight