<<90000000>> viewers
<<240>> entrepreneurs in 17 countries
<<4135>> agroecology videos
<<105>> languages available

Upanzi wa mimea kwa mzunguko pamoja na lejiumu

Uploaded 1 year ago | Loading

Lejiumu ni muhimu katika upanzi wa mimea kwa mzunguko kwa sababu hupunguza magugu na kurutubisha udongo kwa kusaidiana na bakteria wanaotengeza naitrojeni kwenye udongo. Ili kuwa na uhakika kuwa udongo wako una bakteria sahihi, unaweza kununua chanjo ya Rhizobium bacteria. Bakteria wa Rhizobium huweza kuishi kwa miaka kadhaa kwenye udongo, kwa hivyo huhitajiki kuchanja mimea yako ya lejiumu kila wakati.

Current language
Kiswahili
Produced by
Nawaya
Share this video:
How you can help... Your generous donation will enable us to give smallholder farmers better access to agricultural advice in their language.

Recent Videos

With thanks to our sponsors