<<90000000>> viewers
<<240>> entrepreneurs in 17 countries
<<4135>> agroecology videos
<<105>> languages available

Uvunaji na uhifadhi wa bamia

Uploaded 1 year ago | Loading

Vuna bamia laini kila baada ya siku mbili, ili zisiive. Lakini acha zile ndogo ili uzivune katika mkumbo unaofuata. Ikiwa utaacha maganda/matunda kwenye mbamia hadi yaive, matunda hayo yatatumia nguvu nyingi za mti huo na kupunguza kasi ya ukuaji. Mbamia ambao huvunwa kwa kisu hutoa maganda kwa hadi miezi 6 bila kukumbana na madhara. Bamia freshi zinaweza kuhifadhiwa kwa muda wa hadi wiki tatu kwenye friji ya jangwani bila kuharibika. Kwa kukata na kukausha bamia kwenye kivuli, zinaweza kuhifadhiwa kwa mwaka mmoja bila kupoteza virutubisho wala rangi yake halisi.

Current language
Kiswahili
Produced by
AMEDD
Share this video:
How you can help... Your generous donation will enable us to give smallholder farmers better access to agricultural advice in their language.

Recent Videos

With thanks to our sponsors